Mshangao wa wapinzani unatia wasiwasi

babutz

Member
Dec 24, 2016
68
80
Chadema wanaishangaa serikali ya CCM kuwashughulikia kwa haki wanachama wa CCM wanaojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria kama kujihusisha na biashara ya kulevya, Ubadhilifu wa mali umma na uchafu mwingine sawia kabisa na wasio wanachama wa CCM wakati wao(CHADEMA) wanawapa ahueni ya kodi za halmshauri wanafanyabiashara wenye itikadi ya Chadema katika halmaashauri wanazoiongoza(mfano halmashauri ya jiji la Mbeya, meya yupo hatarini kuvuliwa umeya kutokana na hako kamchezo) .

Mytakes.
-Kwa jinsi CHADEMA wanavyobehave kwasasa wanaonesha kama wakipewa nchi kuiongoza, wanaccm na wasiokuwa na chama watakiona cha mtema kuni kwenye ulipaji wa kodi,kubambikiziwa kesi nn wakati wanachama wa chadema akimuua/kumbaka mtu asiye mwanachama wa chadema ataongezewa ulinzi wa jeshi.

-CCM ni kubwa kuliko mwanachama, ingawa kwa chadema ni tofauti mwanachama ni mkubwa kuliko chama

-Mtu kuhama chama ni haki yake ya msingi ingawa wapokeaji waangalie vema wanapokea mtu katika mazingira gani?
 
Back
Top Bottom