Tofauti ni kwamba PGSS ni mfumo wa mishahara ya mashirika ya umma au wafanyakazi wasio wanataaluma katika vyuo vikuu (chini ya TCU) na taasisi za elimu ya juu za umma (chini ya NACTE). Na PUTS ni mfumo wa mishahara kwa wanataaluma wa vyuo vikuu vilivyo chini ya TCU na taasisi za elimu ya juu za umma chini ya NACTE zinatumia mfumo wa PHTS ila mafungu ya PHTS yako juu kuliko ya PUTS.
Asante natumaini umenipata