Dhana ya kimaskini sana kutegemea tu mshahara.Tena mshahara ambao hata ukiupata hauwezi kukusaidia shida zako na bado ukabaki kwa ajili ya kukutana na mshahara mwingine.We need Plan B hata ikibidi C.SUppose mlipaji akipata tatizo au kukatokea sababu yeyoye tu ya kutolipa kwa mwezi husika si ni janga hilo.
Dhana ya kimaskini sana kutegemea tu mshahara.Tena mshahara ambao hata ukiupata hauwezi kukusaidia shida zako na bado ukabaki kwa ajili ya kukutana na mshahara mwingine.We need Plan B hata ikibidi C.SUppose mlipaji akipata tatizo au kukatokea sababu yeyoye tu ya kutolipa kwa mwezi husika si ni janga hilo.
Ndio maana hatukuweka lock down wakati wa Corona ipo juu hapa Tz, sio watumishi u kila mtu alikuwa anapambana tusifungiwe, acha watu wategemee kile wanafanyia kazi asubuhi mpaka jioni