Mshahara ukifungwa unapata salary slip?

Mshahara ukifungwa unapata salary slip?

Kugeuka

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
333
Reaction score
225
Habari za usiku waanajamvi. Naomba kuuliza,kama mshahara umefungwa unaweza ukapata salary slip? Na km ukipata inakua imeandikwa nini? Maana nina jamaa yangu,alifungiwa mshahara kama miezi saba hivi,akasolve ishu yake ikaisha mshahara ukaanza kuingia.

Cha ajabu ameangalia salaryslip za miezi aliyofungiwa mshahara amekuta zipo na znaonesha mshahara wake kama ulivyo.

Na alikua amekopa bank,nako marejesho yamekatwa kama kawaida. Je,kwa anayejua,hili jambo lipo sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa hivi ni saa 7:07 usiku wavumilie waajiriwa wa serikali wakiamka watakupa majibu. Usiku mwema
 
watakuwa wajanja wameufungua kupitia mlango mwingine wanaubebena, yeye anakula makaratasi tu (salaryslip)
 
Back
Top Bottom