Sasa nyie mnaobonyeza "like" ina maana hiyo habari inafurahisha? Watu wengine mnashangaza sana. Mnaletewa habari ya kifo, then mna bonyeza "I like this". What exactly do you like about the death of this young man. R.I.P, Sajuki.
because death ndo mwisho wa kila binadamu sasa wewe ulitaka usi like kifo cha Sajuki(kupumzika) ulitaka afe ndugu yako?hakuna aliyekuja kuurith ulimwengu hata wewe utakufa na nikipata taarifa za kifo chako nta hit LIKE!
RIP Sajuki, We are symphatised with the News. We loved you but God loves you more, we fill sory to your family left but God will keep protecting them with power as his wll
Ni kweli tumempoteza jembe he was sooooooooo special.Alikuwa anafit sehemu zake zilivyo.kweli si binadamu maua jamani tupendane tusidharauliane,leo amekuwa Sajuki hatujui kesho atakuwa nani,labda atakuwa wewe au mimi?????????lets live with peace and love.WITH SYMPATHY ALL THE TANZANIA'S.