TANZIA Msanii Fred Kiluswa afariki Dunia

  • Thread starter Thread starter guest-1787677561
  • Start date Start date
  • Tags Tags
    fred
G

guest-1787677561

Guest
Muigizaji wa tamthilia na Filamu Nchini, Fredy Kiluswa amefariki Dunia. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa baadhi ya wasanii wakiwemo @jb_jerusalemfilms na Steve Mengele almaarufu Steve Nyerere.

Fredy ametamba na filamu na tamthilia mbalimbali ikiwemo tamthilia ya Mzani wa Mapenzi inayoonyeshwa katika channel ya Sinema Zetu ya Azam TV.

Endelea Kufuatilia kurasa Zetu kwa Taarifa zaidi kuhusu msiba wa Fredy zitakujia,

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…