Msamaha kwa walaka wa wazee

Acha mara moja kumchezea Mungu baba muumba wa mbingu na nchi. Ingekuwa nyakati zile ambazo Mungu anatoa adhabu papohapo inawezekana domo lingeenda pembeni au ungekufa hapohapo kama ilivyokuwa kwa herode.!

Roho gani wa Mungu unayemwita akaona huruma kwenye walaka wa kinafiki na kishetani asione huruma kwa Lisu, kwa Azory, kwa Ben, kwa Mawazo nk!!!!
 
Yaan wazee wamekaa kimyaa...ww ni nani uanze kuwaombea msamaha??ila nyie ccm mnaumwa nn lakini??
 
Wahamiaji haramu, Waitara & others, mko wapi ? Mbona kimya? Stand up and be counted
 
Watanzania hawa wazee wametukana na Musiba kosa lao ni kulalamika?Mie nilidhani wanaccm wangejiuliza kwanini Musiba kawatukana? Mbona aliyetukana hasemwi wanasemwa waliotukanwa?
Kwa nini pia usijiongeze kufikiri mbona NEPI alimtukana Lowassa na hakuchukuliwa hatua yoyote? Nani alimtuma?
 

Unaongea nini wewe?jifunze kuandika ndio uje uchangie mambo ya nchi,NAKUSAHIHISHA.SIO WALAKA.UNATAKIWA UANDIKE NI WARAKA.SAWA WEWE MTOTO?HAYA NENDA KACHEZE NA WATOTO WENZAKO
 
Awasame watu ambao hawajaomba msamaha????? Au wamekutuma????
 
Watanzania hawa wazee wametukana na Musiba kosa lao ni kulalamika?Mie nilidhani wanaccm wangejiuliza kwanini Musiba kawatukana? Mbona aliyetukana hasemwi wanasemwa waliotukanwa?
Musiba ongeza mzigo kuni zipo za kutosha huku
 
hili goma namuona JK na kopo lake la popcorn anawacheki tuu
 
Wanyang'anywe hadi kadi za chama wakibaki wataunda makundi hawa wapumbuvu in Bashiru's voice .
 
Unaongea nini wewe?jifunze kuandika ndio uje uchangie mambo ya nchi,NAKUSAHIHISHA.SIO WALAKA.UNATAKIWA UANDIKE NI WARAKA.SAWA WEWE MTOTO?HAYA NENDA KACHEZE NA WATOTO WENZAKO
Mdogo wangu, kuzaliwa wa kwanza kuna baraka zake na pia ni ushahidi wa kuona mengi. kwa uelewa wako finyu unaona nimekosea. lakini mm sio mwalimu wa kiswahili kama wewe. nahaisi unatafuta credit C ili ujiendeleze. sisi tumeshavuka huko. Labda nikupe elimu usije ukaumbuka tena. Lafudhi za kiswahili zinatofautiana kulingana na Geographica area na makabila mbalimbali hivyo huwezi kumwambia mmakonde hajasome kwa kuwa mchicha anasema nchicha. hizo ni athari za kimazingira. Wakurya hawan "L" WANA "R". Hivyo nashauri ujitahdi kupata hizo Credit za Olevel ujiendeleze kielimu
 
Wewe nae ni mpuuzi hivi unaweza kuandika eti umewasamehe Askar waliokamatwa na rushwa??, kwahiyo yeye ndiye anayezibariki rushwa ziendelee!!, sema amecheza mchezo wa hovyoo katika Tz ya wasomi wamelingundua na kumpuuza. Mwambie anawaongoza watu wanatafakari sio kipindi cha 1970
 

WARAKA siyo walaka utasamehewa vipi hueleweki unaomba nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…