Mungu anamiujiza yake jamani.. Mwacheni Mungu aitwe Mungu huwa anawaaibisha waliozoea kula juu ya migongo ya wenzao mchana kweupo na hakuna awezaye kumzuia. Hongera sana Mh. Lema
Roho iume kwa chama chenye wabunge 24, tena wabunge wenyewe ni nyuki wa mashineni, (Kuuma hawaumi, wala hawatengenezi asali) kazi yao ni kupiga kelele tu?????????