Msaana kuhusu chuo wakuu

Msaana kuhusu chuo wakuu

Joined
Sep 9, 2019
Posts
17
Reaction score
4
Wakuu msaada tafadhali..mimi nilichaguliwa saut mwanza mass comunication lakini hiyo ndo ilikuwa choice yangu ya mwisho..cha ajabu nimekuta tayari wamenisellect na kuconfirm..lakini nikitaka kureject haitaki na nikipiga simu saut hawataki kuniachia..hivyo nikaona niwaulize wanaJF msaada wa ushauri..je naweza kusubiri baadae nifanye transfer kwenda IFM nikasome taxation maana ninayo D ya math o-level....msaada wemu wakuu
 
Wakuu msaada tafadhali..mimi nilichaguliwa saut mwanza mass comunication lakini hiyo ndo ilikuwa choice yangu ya mwisho..cha ajabu nimekuta tayari wamenisellect na kuconfirm..lakini nikitaka kureject haitaki na nikipiga simu saut hawataki kuniachia..hivyo nikaona niwaulize wanaJF msaada wa ushauri..je naweza kusubiri baadae nifanye transfer kwenda IFM nikasome taxation maana ninayo D ya math o-level....msaada wemu wakuu
Mmmmmh,samahan.mie sijui kuhsu hayo mambo,ila kama hutojali naomba unitumie namba zao.maana nina shida naoo .
 
Washitaki TCU, wanachokufanyia ni kinyume na utaratibu
Wakuu msaada tafadhali..mimi nilichaguliwa saut mwanza mass comunication lakini hiyo ndo ilikuwa choice yangu ya mwisho..cha ajabu nimekuta tayari wamenisellect na kuconfirm..lakini nikitaka kureject haitaki na nikipiga simu saut hawataki kuniachia..hivyo nikaona niwaulize wanaJF msaada wa ushauri..je naweza kusubiri baadae nifanye transfer kwenda IFM nikasome taxation maana ninayo D ya math o-level....msaada wemu wakuu
 
Mambo wana JF mimi nina mdogo wangu anataka kusomea course ya utalii kwa mkoa wa mwanza vipi kipi chuo bora. kwa mkoa wa mwanza
 
Back
Top Bottom