Kwa ninavyojua the only way you can get your puk number ni kwenye kikadi ulichonunulia line yako, au kwa kuwapigia huduma kwa wateja wakutajie kama umepoteza hiyo kadi
Haya ndio matatizo ya huduma Tanzania, hususan TiGo, hawajui kabisa maana ya Customer Service, wenye afadhali ya customer service ni Zantel kwa nionavyo.