Msaada

Maumivu yakiisha pungua, usiogope kujaza nyama uzi wako. Yu are too brief. Mtu anashindwa kukuelewa
 
Maumivu yakiisha pungua, usiogope kujaza nyama uzi wako. Yu are too brief. Mtu anashindwa kukuelewa

Kujieleza ni kipaji mkuu unaweza nisaidia kuuliza unapoona pamepungua inaweza nisaidia kupata mwanga pakujazia,asante
 
Pole, ziwa linaumaje? Ukilifinya lina any sign ya uvimbe?

Nashauri, nenda hosp haraka wakaangalie kama utakuwa na dalili ya kansa, (kama ni cancer ni rahisi kuitibu ikiwa ktk stage za awali, ikichachamaa itabidi kukatwa ziwa au kupelekwa India) wahi hosp mapema.
Nikweli nilitaka kurudi kuongea hichi shukrani kwakufika kwako
 
Pole, ziwa linaumaje? Ukilifinya lina any sign ya uvimbe?

Nashauri, nenda hosp haraka wakaangalie kama utakuwa na dalili ya kansa, (kama ni cancer ni rahisi kuitibu ikiwa ktk stage za awali, ikichachamaa itabidi kukatwa ziwa au kupelekwa India) wahi hosp mapema.

Hamna uvimbe ila namaumivu nayaskilizia mpaka ndani ya moyo nikilishika or kujigusa
 
Sure, maumivu si dalili njema na ni vzr akaenda kwa uchunguzi zaid pasi kuchelewa. Namshauri pia aende hosp kubwa mf ya wilaya sio zahanati!
Nikweli mkuu ajitahidi kwenda Hosp kubwa kidog hawachelewi kuingia zahanati yakijiji ukakuta nesi amekata ziwa ndo anaenda nalo lab
 
Kujieleza ni kipaji mkuu unaweza nisaidia kuuliza unapoona pamepungua inaweza nisaidia kupata mwanga pakujazia,asante
Eleza tu kuwa:
linauma umaje?
Wakati gani, saa ngapi?
Una ujauzito/umejifungua siku za karibuni/
Mtoto anaponyonya/ hanyonyi
Wakati wa siku zako
Huna dalili hizo hapo juu ila unayasikia maumivu makali unapoenda kuoga
 
Eleza tu kuwa:
linauma umaje?
Wakati gani, saa ngapi?
Una ujauzito/umejifungua siku za karibuni/
Mtoto anaponyonya/ hanyonyi
Wakati wa siku zako
Huna dalili hizo hapo juu ila unayasikia maumivu makali unapoenda kuoga

Linauma niligusa au kujigusa na kitu maumivu nayaskia mpaka kwa ndani kutokea katikati ya kifua ,maumivu yameanza siku ya nne leo ingawa yamekua makali kwanzia jana usiku mpaka leo,sina ujauzito sijawai kuzaa na wala sinyonyeshi ingawa nimenotice mabadiliko ya siku zangu kawaida naenda siku 25-28 ila hii imesogea mpk 32 na zimetoka siku 2 tu kitu ambacho sio kawaida pia
 
Linauma niligusa au kujigusa na kitu maumivu nayaskia mpaka kwa ndani kutokea katikati ya kifua ,maumivu yameanza siku ya nne leo ingawa yamekua makali kwanzia jana usiku mpaka leo,sina ujauzito sijawai kuzaa na wala sinyonyeshi ingawa nimenotice mabadiliko ya siku zangu kawaida naenda siku 25-28 ila hii imesogea mpk 32 na zimetoka siku 2 tu kitu ambacho sio kawaida pia
Kama uli do siku za karibuni bila ndom ujue hiyo ni dalili ya kitu inaitwa ectopreg. Mimba nje ya mfuko wa uzazi.
Pili, hebu lala chali, usiweke pillow kichwani bali ingefaa hata juu ya sakafu, anza kuviringa taratiibu kwa mkono wako wa kuume kuanzia kifuani ulizunguke hilo ziwa (titi) taratiib sana huku ukiongeza speed. Uki-feel kitu kigumu katikati wahi tu hospital ni dalili za cancer.
 
Back
Top Bottom