chindosaid
Member
- Aug 1, 2018
- 36
- 5
Naomba kuuliza kwa sas unaweza kufanya application kwa vyuo vya afya diploma
ThanxYes unaweza mwisho tarehe 12 ila afya nafasi zimebaki chache sana
Thanx sannafasi zipo fanya kama sifa unazo tena coz nzuri ya kusoma ni ile ya X ray wanatoa pale MUHAS