Joseph leonard
Member
- Sep 26, 2017
- 13
- 3
Kwa wenyeji kaka zetu na dada zetu mlio tutangulia kwenye masuala ya kielimu naombeni msaada.Mimi ni mgen kabisa hum.
Shida yangu ni kwamba nimechaguliwa chuo cha udaktari wa meno Tanga ngazi ya diploma in clinical dentistry nafasi ni thibitisha chuoni lakini tatizo ni join instruction form kama kuna mtu naye kachaguliwa hapo na ameshatumiwa hiyo form, basi msaada aiwekee hapo na mimi niisome.
Msaada jamani maana tarehe iliyotangazwa ya kuanza masomo ishapita sasa, wengine tunahofuu wenda wenzetu washaripoti vyuoni.
Shida yangu ni kwamba nimechaguliwa chuo cha udaktari wa meno Tanga ngazi ya diploma in clinical dentistry nafasi ni thibitisha chuoni lakini tatizo ni join instruction form kama kuna mtu naye kachaguliwa hapo na ameshatumiwa hiyo form, basi msaada aiwekee hapo na mimi niisome.
Msaada jamani maana tarehe iliyotangazwa ya kuanza masomo ishapita sasa, wengine tunahofuu wenda wenzetu washaripoti vyuoni.