Ninaheshimu mawazo yako mkuu! Napinga kuwa kila anayetoa hufa! Ninaeajua waliotoa na wanaendekea vizuri tu.Dah..Bijana wa Tz tumefikia apa..Ebu tupeane technics za kupata kaz za kufanya apa tanzania ili kumfanya kila mtu awe na kipatato. Bro nina bad experience ya kila anayetoa figo uwa anakufa ila anayemuuzia ana survive. Mpe pole sana kwa Maamuzi aliyofikia ila bado ananafasi ya kubadili mawazo yake. Peza ni ngumu ila ni mapito tu...something good itakuja kwake ajipe mda wa kuisubir..
Nimesema kwa experience yangu..ninajua watu wa watatu walifariki...ila chance za kuishi zipo..na kwa nini u risk maisha. Mimi naahaur madr waumize kichwa jinsi gani wanaweza tumia organ za wanyama kama mbuz na Ng'ombe kwa wagonjwa wa figo..make zipo za kutosha kuriko kutumia za binadam.Ninaheshimu mawazo yako mkuu! Napinga kuwa kila anayetoa hufa! Ninaeajua waliotoa na wanaendekea vizuri tu.
hii issue aliyesababisha ni Pombe, Mungu anamuona.Habarini wadau,naombeni msaada wa jinsi figo inaweza kuuzwa,Nina rafiki yangu ana uhitaji wa kuuza figo,pia contact zake ni 0658008481 au 0625888448,msaada wenu tafadhali
We na,yule mkuu wa wilaya fulan aliesem damu za nyani zitumike kwa binadam mko sawa tuu……!!!Nimesema kwa experience yangu..ninajua watu wa watatu walifariki...ila chance za kuishi zipo..na kwa nini u risk maisha. Mimi naahaur madr waumize kichwa jinsi gani wanaweza tumia organ za wanyama kama mbuz na Ng'ombe kwa wagonjwa wa figo..make zipo za kutosha kuriko kutumia za binadam.
Waumize kichwa..kila kitu kinawezekana...au watafute wepesi wa kufanya dialysis mzee. Nahc hujawah kuwa na mgonjwa wa figo bro..ni mateso makubwa sana..alafu mara nyingi wanataka figo toka kwa family member wewe unaweza kutoa?We na,yule mkuu wa wilaya fulan aliesem damu za nyani zitumike kwa binadam mko sawa tuu……!!!
Tehhii issue aliyesababisha ni Pombe, Mungu anamuona.