Kaputula La Marx
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 562
- 493
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimefanya malipo kwa njia ya Mpesa ili nipate vocha numba ya TCU kwa ajili ya selection za vyuo.
Ajabu ni kwamba kila nikiingiza vocha niliyopewa napata ujumbe kuwa transaction id is not valid na kama ni valid ilinipasa kusubiri kwa saa moja ili taarifa zifike kwenye system yao.
Nimesubri toka jana mpka leo lakini kila nikirudia mchakato majibu ni yaleyale tu. Hivyo yeyote anayefahamu kuhusu hili naomba anisaidie nifanye nini.Asanteni
Ajabu ni kwamba kila nikiingiza vocha niliyopewa napata ujumbe kuwa transaction id is not valid na kama ni valid ilinipasa kusubiri kwa saa moja ili taarifa zifike kwenye system yao.
Nimesubri toka jana mpka leo lakini kila nikirudia mchakato majibu ni yaleyale tu. Hivyo yeyote anayefahamu kuhusu hili naomba anisaidie nifanye nini.Asanteni