Msaada written interview TTCL position of marketing intergrator solution

Msaada written interview TTCL position of marketing intergrator solution

oleoju

Member
Joined
Jul 28, 2014
Posts
66
Reaction score
8
Habari wadau poleni na majukumu naomba msaada kwa wadau wanaojua maswali wanayouliza TTCL katika written interview natanguliza shukrani zangu za dhati interview tarehe 25.03.2015
 
Hapo majuzi walifanya tena hii kitu kama sikosei pale Institute of adult education ! Pepa zao Saa 1:30 shika notes babu, wale jamaa huwa hawakosei kutunga !

Hapo ma strategies ya soko lazima. Dig deeply. Nakushauri angalia tena job description yao iliyotoka na kazi, soma zile kazi vizuri. Utagundua wapi utakapoulizwa. Utapata idea whats next
 
habari wadau poleni na majukumu naomba msaada kwa wadau wanaojua maswali wanayouliza ttcl katika written interview natanguliza shukrani zangu za dhati interview tarehe 25.03.2015

Kaka habari huko mambo yalikwendaje?? Vipi washaanza kuita kwenye oral??!!
 
Habari wadau poleni na majukumu naomba msaada kwa wadau wanaojua maswali wanayouliza TTCL katika written interview natanguliza shukrani zangu za dhati interview tarehe 25.03.2015

Dah kizazi hiki taabu tupu, kuchakachua kila sehemu! hakuna shaka hii ndio sababu ya ufisadi kutokwisha. Utajibu vizuri maswali yao watadhani wamepata mwenye uwezo kumbe ulidesa. Ukipewa kazi utaishindwa ila utajiunga na TUICO na kuongoza migomo na maandamano ya maslahi bora. I really hate people of your type, you are pulling us back
 
Dah kizazi hiki taabu tupu, kuchakachua kila sehemu! hakuna shaka hii ndio sababu ya ufisadi kutokwisha. Utajibu vizuri maswali yao watadhani wamepata mwenye uwezo kumbe ulidesa. Ukipewa kazi utaishindwa ila utajiunga na TUICO na kuongoza migomo na maandamano ya maslahi bora. I really hate people of your type, you are pulling us back

Umemaliza. hongera. Madesa at work.
 
Ttcl wanajua kutunga ngoma ilikuwa tyt oral bado hawajaaaza kuita please note ukiitwa interview ttcl ujipange usikurupuke otherwise utachora zombi
 
Back
Top Bottom