Switch Case James
Member
- Jan 17, 2013
- 13
- 1
msaada please jinsi ya kutibu os iliyocorupt. Natanguza shukrani. Axante.
Have tried to do a system repair?
Na unapata error message gani kwa screen??
xorry mimi nahitaji kufahamu jinsi ya kuitibu os iliyocorrupt kwa vyovyote bila kuiformat disk. msaada wako mheshimiwa.
nikiwasha inawaka nakudisplay manufacture name then inazima,os ni windows 7 altimate. Na kunanyingine ikiwashwa inaonyesha option nyingi nying za kucomand, lakn ingekuwa vizuri zaidi ukanielekeza case zote ambazo hutokea after os kukorupt. Asante.Jaribu kufunguka kidogo, maana unaposema imecorrupt nashindwa kujua kama inauwezo wa kuboot OS, au hata kuwaka haiwaki.
Halafu unatumia version ipi ya Windows?
Pole na umenifurahisha sana,hapa JF tunapita onetime tunasaidia tunapoweza tuna shughuli zetu.Wewe nahisi ni fundi au unajifunza ufundi na unataka utatue matatizo kwa kusaidiwa kupitia jf kwa nini nimesema hivyo.nikiwasha inawaka nakudisplay manufacture name then inazima,os ni windows 7 altimate. Na kunanyingine ikiwashwa inaonyesha option nyingi nying za kucomand, lakn ingekuwa vizuri zaidi ukanielekeza case zote ambazo hutokea after os kukorupt. Asante.
nikiwasha inawaka nakudisplay manufacture name then inazima,os ni windows 7 altimate. Na kunanyingine ikiwashwa inaonyesha option nyingi nying za kucomand, lakn ingekuwa vizuri zaidi ukanielekeza case zote ambazo hutokea after os kukorupt. Asante.