Msaada window installation

Msaada window installation

Smartbrain

Senior Member
Joined
Mar 23, 2013
Posts
184
Reaction score
35
Habar zenu wakuu. Nina laptop yangu hp elitebook2530p .Nilikua natumia window 8 but nikawa nimeichoka nikatakubadirisha niweke window 7 .kila nikianza installation nikifika sehemu ya kuchangua haina ya hiyo window either starter, ultmate or professional pc inastuck hapo haifanyi chochote mpaka uzime tena kwa power button ..nikajaribu kuweka window 8 pia na yenyewe inahishia sehem ile ile yinapaishia window 7 ..nimejaribu ku clear cmos na kuto kila kitu ikiwepo processor na ram afu nikavirudisha but still tatizo ni lile lile hata nikijaribu kubadirisha cd za window still na stuck pale pale..... Naomben msaada wenu wakuu
 
Jaribu kwa kutumia bootable flash
?
 
Cheki na BIOS mara nyingi pc mpya huwa zinakuwa zimesetiwa zi-boot from internal (HDD), Kwahiyo angalia kama ipo enabled kuboot from CD na iwe ni option # 1
 
Cheki na BIOS mara nyingi pc mpya huwa zinakuwa zimesetiwa zi-boot from internal (HDD), Kwahiyo angalia kama ipo enabled kuboot from CD na iwe ni option # 1

.
Sijui kama nipo sahihi sana
ila kwa nnavyo jua PC ikiwa ime setiwa ku boot from HDD yaani hdd ikawa ni First boot divice
.
hiyo windows installation isingeweza ku soma !
Kwa hiyo sizani kama solution iyo itafanya kazi
my opinion
 
.
Sijui kama nipo sahihi sana
ila kwa nnavyo jua PC ikiwa ime setiwa ku boot from HDD yaani hdd ikawa ni First boot divice
.
hiyo windows installation isingeweza ku soma !
Kwa hiyo sizani kama solution iyo itafanya kazi
my opinion

Uko sahihi mkuu isinge andika "press any key to boot from cd or dvd" kama rom sio first priority kwenye bootsequence
 
.
Sijui kama nipo sahihi sana
ila kwa nnavyo jua PC ikiwa ime setiwa ku boot from HDD yaani hdd ikawa ni First boot divice
.
hiyo windows installation isingeweza ku soma !
Kwa hiyo sizani kama solution iyo itafanya kazi
my opinion
Hivi vitu havitengenezwi Tanzania mkuu, sisi tunajuwa kuviunganishaunganisha tu. Mimi ilishawahi kunitokea inaanza mpaka installation na mwisho inagoma nikichange hizo settings kama nilivyoshauri hapo juu inaenda mpaka mwisho. Hata hivyo bado hajafanikiwa jaribu kumsaidia afanye nini
 
Hebu jaribu kutumia windows CD nyingine tofauti na hizo ambazo umeshazitumia. Halafu wewe kama ndiyo mwenye tatizo basi uwe unafuata ushauri wa wadau siyo unaanzisha tatizo jamvini watu tunakushauri halafu wewe mwenyewe unakuwa na hitimisho zako
 
Mkuu nimejarbu ku boot from flash still ikifika sehemu hile hile inastuck tena nimejaribu kwa window 7 na 8

.
Hiyo basi ni noma sana mkuu
.
Sasa inatakiwa ujue kama tatizo ni hiyo HDD au laa
.
Kama una trusted friend one au hata baby mama kama ana PC uazime na uchomoe hiyo HDD yako kisha uiweke kwenye PC ya huyo rafiki yako
fanya installation kwa kutumia hiyo PC nyingine lakini ikawa na HDD yako
.
Ikifika tena kwenye hatua hiyo na ika stuck tena
nadhani utakuwa ume tambua what the hell.
.
 
Hebu jaribu kutumia windows CD nyingine tofauti na hizo ambazo umeshazitumia. Halafu wewe kama ndiyo mwenye tatizo basi uwe unafuata ushauri wa wadau siyo unaanzisha tatizo jamvini watu tunakushauri halafu wewe mwenyewe unakuwa na hitimisho zako

Mkuu hapa nina cd za window 8 tatu na window 7 mbili .pia nina window 7 kwenye flash lakin zote hizo zinahishia sehemu moja tu afu pc ina stuck. Sijui nitumie njia gan nyingine kusolve hili tatizo
 
Mkuu hapa nina cd za window 8 tatu na window 7 mbili .pia nina window 7 kwenye flash lakin zote hizo zinahishia sehemu moja tu afu pc ina stuck. Sijui nitumie njia gan nyingine kusolve hili tatizo

Ipumzishe ipowe kwanza utaendelea nayo baadaye jioni
 
.
Hiyo basi ni noma sana mkuu
.
Sasa inatakiwa ujue kama tatizo ni hiyo HDD au laa
.
Kama una trusted friend one au hata baby mama kama ana PC uazime na uchomoe hiyo HDD yako kisha uiweke kwenye PC ya huyo rafiki yako
fanya installation kwa kutumia hiyo PC nyingine lakini ikawa na HDD yako
.
Ikifika tena kwenye hatua hiyo na ika stuck tena
nadhani utakuwa ume tambua what the hell.
.

Ahsante mkuu ngoja nijaribu
 
Hapo tatzo ni hddmost mkuu km alivyosema jamaa iweke kweny machine nyingne utest uzma wake lkn its likely to be problem machine nyingi ukiformat os ukitaka juweka mpya km hdd ishapungua rpm inagoma os mpya replace with new one
 
Hapo tatzo ni hddmost mkuu km alivyosema jamaa iweke kweny machine nyingne utest uzma wake lkn its likely to be problem machine nyingi ukiformat os ukitaka juweka mpya km hdd ishapungua rpm inagoma os mpya replace with new one

Nilikua sijui hii kitu mkuu. Kumbe ukipiga window mara nying hdd huwa inapungua rpm .
 
Hdd nyingi siku hizi ikifanya kaz sana inapungua rpm coz pale kuna motor inayotumia umeme kuzungusha zile platers then inaanza kuwa slow ndo utaona machine inaanza kuwa slow unabadilisha os lkn bado mpk inafikia sehem inasimama kbsa ndo unaona disk haisomi km kuna data za muhim backup mapema anything cn happen anytime
 
Hdd nyingi siku hizi ikifanya kaz sana inapungua rpm coz pale kuna motor inayotumia umeme kuzungusha zile platers then inaanza kuwa slow ndo utaona machine inaanza kuwa slow unabadilisha os lkn bado mpk inafikia sehem inasimama kbsa ndo unaona disk haisomi km kuna data za muhim backup mapema anything cn happen anytime
Nmekutana na hili janga mkuu 👉👉 BCD ERROR 😢😢😢
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom