Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Wasalaamu ndugu. Poleni na mihangaiko ya kila mara. Binafsi siumwi, ila rafiki yangu anaumwa sana kama nitakavyoelezea hapa chini.
NOTE; Pamoja na kuumwa kwake huku kama hajakwambia huwezi jua kama anaumwa, sababu anatembea ni mzima kama wewe msomaji ulivyo hapo ukimuangalia kwa macho. Ila nimeshirikiana Naye kwenda kwa Madaktari, Hospitali mbalimbali kufanya vipimo vingi matokea yanatoka tofauti, na kama ikionekana labda anasumbuliwa na ugonjwa uliogundulika akipewa dozi bado hali inabaki kuwa ileile.
*MATATIZO YANAYOMSUMBUA* *( DALILI )*
Mwili kuchoka, kuuma (ususani upande wa kifua & mgongo ). Maumivu makali katikati ya tumbo na kifua na wakati mwingine baadhi ya sehemu za mwili upata ganzi mfano akikaa miguu ufa ganzi, mdomo kuchacha na kusikia vichomi,.
Tunaomba msaada wenu. Mungu awabariki
NOTE; Pamoja na kuumwa kwake huku kama hajakwambia huwezi jua kama anaumwa, sababu anatembea ni mzima kama wewe msomaji ulivyo hapo ukimuangalia kwa macho. Ila nimeshirikiana Naye kwenda kwa Madaktari, Hospitali mbalimbali kufanya vipimo vingi matokea yanatoka tofauti, na kama ikionekana labda anasumbuliwa na ugonjwa uliogundulika akipewa dozi bado hali inabaki kuwa ileile.
*MATATIZO YANAYOMSUMBUA* *( DALILI )*
Mwili kuchoka, kuuma (ususani upande wa kifua & mgongo ). Maumivu makali katikati ya tumbo na kifua na wakati mwingine baadhi ya sehemu za mwili upata ganzi mfano akikaa miguu ufa ganzi, mdomo kuchacha na kusikia vichomi,.
Tunaomba msaada wenu. Mungu awabariki