Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,261
- 18,261
"KUMBI ZA STAREHE"Makubwaaaaa!!!!
Kwa hiyo mwanamke asiende akafurahi kwenye kumbi za starehe kisa ni mwanamke....
Mfumo dume sijui utaisha lini jamani.
Aibu iwe juu yako,"KUMBI ZA STAREHE"
Yaani huoni hata aibu kweli,
Hebu rudia kuisoma tena comment yako,
Hivi hamjiulizi kuwa kwa nini siku hizi waoaji hamna.
Tatizo umagharibi mwingi,Aibu iwe juu yako,
Hizo kumbi walijengewa Panya????
Waoaji hakuna???? Teh teh sema wewe hujaoa harusi zote hizi tunazo hudhuria.....
* Blue na mkewe walikutana Bills.*
Ahahahaha, nimecheka aseeInternet imetengeneza madomo zege!!! Kutwa kubwabwaja na kujitia vidume mitandaoni ila ukiwapeleka kwenye real world midomo inakufa ganzi.
Game ipo the same hatuichukii, football ni football ila wachezaji wanabadilikaga sana, basi na nyie wanaume badilikeni basi nko hapo hapo tu! KiruuMbona mna hasira, hate the game and not the player
Mungu anakuona, hata wewe usipojiangalia utakuja kuambiwa unachi ulichokitaja! Kiru!Mna ngoma hatuwataki haooooo
Meona ee, ni sheeedah!Makubwaaaaa!!!!
Kwa hiyo mwanamke asiende akafurahi kwenye kumbi za starehe kisa ni mwanamke....
Mfumo dume sijui utaisha lini jamani.
Ahahahaa, nimecheka mpaka mbwa nje wamebweka! AhahahaMoney Penny, siku hizi kuna wanaume suruali wale wanaume rijali sijui wameshakufa au wamezeeka.....
Kizazi hiki cha Marioo huo ujasiri wanaupata wapi kwa mfano,
Mwanaume akimuona mende anapiga kelele....
Pathetic.
Si mnaboa wanaume hamtupi mihemkoo tutake kutulia na nyie ndo maana tunawapanga na wanaume 2-3"KUMBI ZA STAREHE"
Yaani huoni hata aibu kweli,
Hebu rudia kuisoma tena comment yako,
Hivi hamjiulizi kuwa kwa nini siku hizi waoaji hamna.
AhahahahaKuna mshkaji wangu akiwa anaongea na demu wake wote mpo kwenye kochi moja lakini hutasikia sauti, anaongea kwa kubembeleza sauti anailegeza balaa, anabembeleza na nyimbo anaimba. Huyu ni sampo ya % ya wanaume siku hizi.
Akanifanya nione sasa wale wagumu soko letu limefika omega, ila kuna posts mbili tatu nimeziona naamini bado kuna someone out there tunaweza tukawezana.
Sio kweli tumekuwa wapiganaji, wakakamavu, maljia wa nguvu, kama hauna mchuzi no excuse!tatizo na wanawake siku hizi mmezidi ukauzu, mnajifanya kama madume...asili ya wanawake siku hizi imepotea kabisa...
Bora umwambie kabisaaAibu iwe juu yako,
Hizo kumbi walijengewa Panya????
Waoaji hakuna???? Teh teh sema wewe hujaoa harusi zote hizi tunazo hudhuria.....
* Blue na mkewe walikutana Bills.*
Aya buana wasalimie ndotoniTatizo umagharibi mwingi,
Anyway,
Yalikuwa ni mawazo yangu,
Usiku mwema.
Teh teh,tatizo na wanawake siku hizi mmezidi ukauzu, mnajifanya kama madume...asili ya wanawake siku hizi imepotea kabisa...
asante kwa kukubari maana...huo ndio ubinaadamu bwana sio unakuta jitu lina bisha ata kitu kinachoonekanaTeh teh,
Hapo nakuunga mkono kiukweli,
Unamfuata mwanamke amekutolea macho hapepesi hata kope.....
Lazima ujasiri ukutoke.
Napitaaasante kwa kukubari maana...huo ndio ubinaadamu bwana sio unakuta jitu lina bisha ata kitu kinachoonekana
Na ukoloni hapo umelalaMakubwaaaaa!!!!
Kwa hiyo mwanamke asiende akafurahi kwenye kumbi za starehe kisa ni mwanamke....
Mfumo dume sijui utaisha lini jamani.
Hahaaaaaaa wanatiaga hamasa hadi basi yaaan unaweza kuhama mbinguWapo romantic afu watamu, ngumu kuachana.. hii bomba mbaya bro
Nyie sasa msiojua uchungu wa kufukuzia kila kitu mnaona ni 4G 4G tu hamna uchungu
Umiza msuli alafu demu aibiwe uone kama haujaandamana kama sio kujiua
Ahahahha, nimecheeekaa
Che! JF?! Kuna wana JF wowote ushasikia wameoana?! Nipe mifano hata 20 kwa kuanzia
Hahahaha noma sanaaaaHahaaaaaaa wanatiaga hamasa hadi basi yaaan unaweza kuhama mbingu
This song is one of my favorite, I name my son Julio cause of this songHappy Saturday to you All..
Friday night moja buanaaa nimekaa na my girls gurls GIRL, happy time, friday night
Tunaenjoy groove night na nini tunajikumbushia miziki ya kikwetu kwetu old school amaizing
Mara akaja kaka m1, akaja moja kwa moja kwangu, akaniambia;
Kaka: hey you
Money Penny: Hi
Kaka: naomba nicheze na wewe, maana katika wadada wote hapa mimi nimekuona wewe tu,
Mashosti: aaaaah embu kwenda zakoo
Kaka wa watu haogopi wala nini, kaning'ang'ania mpaka nikaenda kudance nae
Tukiwa tunaelekea kwenye dance floor akasema she's my moonlight lady, hata sijali mtakachosema
Mashosti wakawa wanacheka tu
Swali langu ni kwamba: wapo wapi tena hawa wanaume wenye ujasiri wa namna hii?! Sikuhizi mwanaume akikuta wadada wamekaa 6 hajii, hata waiter hamtumiii, kwani wanaume skuhizi wamekuwaje jamaa?!
Wako wapi Agressive Man sikuhizi?! Wanaume Majasiri wa kujitoa ufahamu wakifukuzia wanachokitaka?! Skuhizi wanakaaa tu wanasubiri wadada waje, kiru!
Ingawa yule kaka (bwashee) hakunioa lakini nilimpenda bure kwa kuthubutu!
Me mwanaume anaejitoaga ufahamu nampenda bure tu
Am just saying!
Awww jaman ur sooo kindThis song is one of my favorite, I name my son Julio cause of this song
AhahahahaMna ngoma hatuwataki haooooo
Jamani juzi kati hapa si ulitokewa na jamaa hapo mlimani city ukajifanya bubu? ama nimefananisha? nani alikuja na Uzi hapa kuwa kamchezea chezo jamaa alikuwa anamtokea lkn kajifanya bubu?Happy Saturday to you All..
Friday night moja buanaaa nimekaa na my girls gurls GIRL, happy time, friday night
Tunaenjoy groove night na nini tunajikumbushia miziki ya kikwetu kwetu old school amaizing
Mara akaja kaka m1, akaja moja kwa moja kwangu, akaniambia;
Kaka: hey you
Money Penny: Hi
Kaka: naomba nicheze na wewe, maana katika wadada wote hapa mimi nimekuona wewe tu,
Mashosti: aaaaah embu kwenda zakoo
Kaka wa watu haogopi wala nini, kaning'ang'ania mpaka nikaenda kudance nae
Tukiwa tunaelekea kwenye dance floor akasema she's my moonlight lady, hata sijali mtakachosema
Mashosti wakawa wanacheka tu
Swali langu ni kwamba: wapo wapi tena hawa wanaume wenye ujasiri wa namna hii?! Sikuhizi mwanaume akikuta wadada wamekaa 6 hajii, hata waiter hamtumiii, kwani wanaume skuhizi wamekuwaje jamaa?!
Wako wapi Agressive Man sikuhizi?! Wanaume Majasiri wa kujitoa ufahamu wakifukuzia wanachokitaka?! Skuhizi wanakaaa tu wanasubiri wadada waje, kiru!
Ingawa yule kaka (bwashee) hakunioa lakini nilimpenda bure kwa kuthubutu!
Me mwanaume anaejitoaga ufahamu nampenda bure tu
Am just saying!
Ndio mie soma thread yangi inaitwa Bubu wa kugongea heheJamani juzi kati hapa si ulitokewa na jamaa hapo mlimani city ukajifanya bubu? ama nimefananisha? nani alikuja na Uzi hapa kuwa kamchezea chezo jamaa alikuwa anamtokea lkn kajifanya bubu?
Ndio maana namesema hivi, kwa kuwa wanaume majisiri tupo. sasa nataka kukuomba mchezo unani aktia bubu, nifanyaje? kesho unakuja kutoona tena waoga, daah! nimechoka.Ndio mie soma thread yangi inaitwa Bubu wa kugongea hehe