Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
Habarini
Leo nimejiunga na propeller ads sasa katika kuchagua zone ads nimejikuta nashindwa kwa sababu Mimi hua napenda sana banner ads.
Sasa propeller ads hawana hio kitu.
Wame andika coming soon
Nisaidieni ni ads zipi za propeller nitakapo ziweka kwenye blog yangu haitasumbua wasomaji wangu pia Haita athiri website traffic.
Pia kwa wale mnaopiga 100$ kwa Siku kwa propeller mnatumia ads zipi.
Leo nimejiunga na propeller ads sasa katika kuchagua zone ads nimejikuta nashindwa kwa sababu Mimi hua napenda sana banner ads.
Sasa propeller ads hawana hio kitu.
Wame andika coming soon
Nisaidieni ni ads zipi za propeller nitakapo ziweka kwenye blog yangu haitasumbua wasomaji wangu pia Haita athiri website traffic.
Pia kwa wale mnaopiga 100$ kwa Siku kwa propeller mnatumia ads zipi.