Ndugu mteja, Serikali imeagiza kampuni za simu kuzima simu zote ambazo sio halisi ifikapo 16.06.2016. Hakikisha umehakiki kama kama simu yako ni halisi
Anza na kupiga Kwenye simu husika *#06# utapata Namba IMEI Namba hiyo inakili na itume kwa SMS Kwenda 15090 na utapata jibu hapo hapo. Na maelekezo mengine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.