Kilichokuchekesha? Naomba kuelekezwa kama unapafahamu.
Nashukuru kwa mawazo yenu ngoja nisubiri na ya wengine
Nashukuru kwa mawazo yenu ngoja nisubiri na ya wengine
Wana JF naomba kuuliza ni wapi nitapata majeneza mazuri yenye viwango vya hali ya juu hapa DSM zaidi ya Muhimbili? Asanteni
Wana JF naomba kuuliza ni wapi nitapata majeneza mazuri yenye viwango vya hali ya juu hapa DSM zaidi ya Muhimbili? Asanteni
Asante sana kwa msaada wenu, nafaham kufa ni kufa naomba tu kuelekezwa ubishoo utakuwa ni wangu naomba nitendewe haki ya kuelekezwa tu.
Kufa ni kufa tu unakua mzoga nunua jeneza kazike acha ubishoo mkuu.
Kwahiyo yasipotokea hayo mawazo utasubiri hata lini?
Wana JF naomba kuuliza ni wapi nitapata majeneza mazuri yenye viwango vya hali ya juu hapa DSM zaidi ya Muhimbili? Asanteni