Mkuu ushachezea vitasa nini....ikakubidi ujiweke physical fitHahaha
KWELI DIFENCE MUHIMU SANANachukua tahadhari kabisa. Siku yakinikuta hata wakinichukulia basi iwe kwa mbinde![]()
![]()
Mmmh wisova ndeti?Habarini wana jamvi?
Naomba mwenye kufahamu wapi maeneo ya Tabata na maeneo ya jirani kama vile Buguruni au hata Gongo la Mboto sehemu wanayofundisha karate.
Nawasilisha
Hahahahaa huyo keshachezeaMkuu ushachezea vitasa nini....ikakubidi ujiweke physical fit
OVA
VITASA LAZIMA UCHEZE.....KUNA KIPINDI LONG TYM ALIKUWEPO MTEMI WA MANZESE ANAITWA SANTANA(RIP)NLIINGIA KWENYE 18Hahahahaa huyo keshachezea
Kwa Scorpion pale pamefungwa kwani??Habarini wana jamvi?
Naomba mwenye kufahamu wapi maeneo ya Tabata na maeneo ya jirani kama vile Buguruni au hata Gongo la Mboto sehemu wanayofundisha karate.
Nawasilisha
Kama hiviHabarini wana jamvi?
Naomba mwenye kufahamu wapi maeneo ya Tabata na maeneo ya jirani kama vile Buguruni au hata Gongo la Mboto sehemu wanayofundisha karate.
Nawasilisha
Kufikia hatua ya kutumia bastola mpaka kusiwe na namna yoyote nyingine, martial arts ni silaha ya mwili usio na silaha Bali ujuzi na utulivu wa fikra.Tafuta mguu wa Kuku SAA ngapi mambo ya kuumizana na kupoteza nguvu zako kupiga Kwa kusogeleana ni mambo ya kizamani.yupo MTU anatoa mafunzo binafsi ya self defense mitaa hio ukimuhitaji nikupe mawasiliano nae
Kama mtu akikuvamia, kusudi lake nini? Si nikukuumiza au kukuua. Hapo unatoa bastola, tena unampa ya warning piga angani. Akileta ubabe, piga za kifuani mbili. Hatakama jamaa ni Bruce Lee, hapo unamnyamazisha. Mambo ya martial arts waachie watoto na watemi.Kufikia hatua ya kutumia bastola mpaka kusiwe na namna yoyote nyingine, martial arts ni silaha ya mwili usio na silaha Bali ujuzi na utulivu wa fikra.