MSAADA WANAJAMVI

minale

Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
24
Reaction score
4
habari zenu
nna shida kama tatu iv msaada plz
1.kwenye ajira portal ukiwa unajaza detail zako unaweka vyeti ambavyo vimepita kwa mawakili au unaweka copy ya original ila wakati wa kutuma ndo unaweka vilivyo pitia kwa wakili?
2.barua iliyo sainiwa unasaini vip?
ni hayo tu msaada jamani
 
Level yako ya elimu please, ili tujue tunamuelekeza mtu wa aina ipi
 
Unaweka copy ya vyeti ambavyo vimeshapita kwa wakili, na kuhusu barua unaandika aidha kwa mkono au unatype kisha unaprint unaisain halafu unascan ndio unaituma, kwa hapo nadhan utakuwa umeshaelewa
 
Unaweka copy ya vyeti ambavyo vimeshapita kwa wakili, na kuhusu barua unaandika aidha kwa mkono au unatype kisha unaprint unaisain halafu unascan ndio unaituma, kwa hapo nadhan utakuwa umeshaelewa
nimekupata asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…