vfsuccessfully
Senior Member
- Jul 16, 2017
- 180
- 64
Habari zenu Wana Jamvi...
Mimi ni kijana wa kitanzania hali yangu yaki uchumi ni ngumu kwa sasa ndo maana natafuta kazi hata nje ya nchi maana hapa nimesha angaika sana hata nimeona kua nifanye kazi yoyote ile hata kama si professional ili mladi ili ini ingizie kipato natumaini wapo watakao nisaidia humu jamii forum kwa hizo nchi za UAE nipate kazi hata kama ni house keeper mimi nitafanya.
Napia ninayo hati ya kusafiria yani(Passport) napia ninayo ID ya uraia .Asante....
namba yangu 0656143546
Mimi ni kijana wa kitanzania hali yangu yaki uchumi ni ngumu kwa sasa ndo maana natafuta kazi hata nje ya nchi maana hapa nimesha angaika sana hata nimeona kua nifanye kazi yoyote ile hata kama si professional ili mladi ili ini ingizie kipato natumaini wapo watakao nisaidia humu jamii forum kwa hizo nchi za UAE nipate kazi hata kama ni house keeper mimi nitafanya.
Napia ninayo hati ya kusafiria yani(Passport) napia ninayo ID ya uraia .Asante....
namba yangu 0656143546