Tatizo :Simu ya nokia haisomi laini nilipeleka kwa fundi nikaambiwa tatizo housing na motherbord nikanunua bado ikawa haisomi nikapeleka kwa fundi mwngine akanambia shida ni IC sasa nahitaji ushauri kabla sijanunua hiyo ice coz nimeona mafundi ni wababaishaji sana wanafanya vitu kwa kubabaisha!
NOKIA
Nokia corporation
IMEI:359039/04/561696/3
CODE:059F0D5
FCC ID:QFXRM-745
Made in korea
CE0434
Type:RM-745
Model:C5-00.2
NOKIA
Nokia corporation
IMEI:359039/04/561696/3
CODE:059F0D5
FCC ID:QFXRM-745
Made in korea
CE0434
Type:RM-745
Model:C5-00.2