Hassani Iddi
Member
- Mar 30, 2018
- 9
- 11
Habari wakuu.. Mimi nilihitimu Kidato cha NNE 2013 nikapta history B..Kiswahili C English D,,Civics D,,Geography D.Math F Bio F. Katika kozi ya Sheria,,Saikolojia na Diplomasia IPI ambayo ni nzuri nayoweza kusomea? Nisaidien wakuu