Msaada wakuu hii Computer aina ya Sony VAIO Z Canvas

Troll JF

Platinum Member
Joined
Feb 6, 2015
Posts
10,060
Reaction score
14,690
Nimekuta inauzwa SH. 6,300,000 Naomba msaada kwa wajuzi what is so special katika hii Computer
 
specs zake? sababu ipo amazon dola 999 ina i7 quad, 256gb sdd na ram 8gb ambayo ni fair kwa hio bei, huenda hao wanaouza milioni 6 wanataka tu kuwaingiza watu mjini
 
specs zake? sababu ipo amazon dola 999 ina i7 quad, 256gb sdd na ram 8gb ambayo ni fair kwa hio bei, huenda hao wanaouza milioni 6 wanataka tu kuwaingiza watu mjini
Mkuu, Me Nimepata Kma Hiyo Kwa Milioni 1.7.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…