Msaada wa tiba wa tatizo la upele na makovu yake.

Ronzobe B29

JF-Expert Member
Jul 8, 2017
242
89
Habar wanajf
Natumaini mu_wazima kwa neema ya mungu.
Basi niende moja kwa moja kwenye maada, kuna ndugu yangu anatatizo la kutoka upele hasa maeneo ya mgongoni, kifuani na kwenye mabega
Tatizo hili alinambia lilianza tangu balehe, upele huo hua unatoka katika hayo maeneo lakini baada ya mda unapasuka na kuacha makovu yanayoonekana kitu kinachomfanya kutojiamin akiwa faraghani na lazizi wake

Hivyo mwenye kujua hili tatizo au aliyekuanalo likaisha anaomba msaada wako ili ngozi yake naye iweze vutia na kujiamin pia
IMG_20181020_155855.jpg
IMG_20181020_155905.jpg
 

Attachments

  • IMG_20181020_155905.jpg
    IMG_20181020_155905.jpg
    83.9 KB · Views: 58
Back
Top Bottom