Ronzobe B29
JF-Expert Member
- Jul 8, 2017
- 242
- 89
Habar wanajf
Natumaini mu_wazima kwa neema ya mungu.
Basi niende moja kwa moja kwenye maada, kuna ndugu yangu anatatizo la kutoka upele hasa maeneo ya mgongoni, kifuani na kwenye mabega
Tatizo hili alinambia lilianza tangu balehe, upele huo hua unatoka katika hayo maeneo lakini baada ya mda unapasuka na kuacha makovu yanayoonekana kitu kinachomfanya kutojiamin akiwa faraghani na lazizi wake
Hivyo mwenye kujua hili tatizo au aliyekuanalo likaisha anaomba msaada wako ili ngozi yake naye iweze vutia na kujiamin pia
Natumaini mu_wazima kwa neema ya mungu.
Basi niende moja kwa moja kwenye maada, kuna ndugu yangu anatatizo la kutoka upele hasa maeneo ya mgongoni, kifuani na kwenye mabega
Tatizo hili alinambia lilianza tangu balehe, upele huo hua unatoka katika hayo maeneo lakini baada ya mda unapasuka na kuacha makovu yanayoonekana kitu kinachomfanya kutojiamin akiwa faraghani na lazizi wake
Hivyo mwenye kujua hili tatizo au aliyekuanalo likaisha anaomba msaada wako ili ngozi yake naye iweze vutia na kujiamin pia