Duu mi natumiaga sp flash tool sometimes unaweadza ukawa umedowmload wrong firmware kuna huawei nilibugi nika download wrong firmware ya south afrika kitu kama yani ilinisumbua kuja kugundua nika google nikakuta ili dizainiwa na nchi mbili lMkuu simu imezima kwaiyo nilivyoread kweny miracle ndio kama hivi...View attachment 875433
Duu mi natumiaga sp flash tool sometimes unaweadza ukawa umedowmload wrong firmware kuna huawei nilibugi nika download wrong firmware ya south afrika kitu kama yani ilinisumbua kuja kugundua nika google nikakuta ili dizainiwa na nchi mbili l
Jaribu kuangalia youtube hua wanawekaga link chini pale unaweza ukaikutaYaa ofcoz kunakuaga na version tofaut..sasa hii ni y3 plus ya 2016.kwaiyo hapa natakiwa nipate hyo ya 2016 ndio itakubal kuflash..ninazokutana nazo online ni za 2015