Mkuu ukiwa Uganda kama upo home tu..hamna tofauti yyte..chakula tu mim ndio shida yangu, kibayaaaa lakin mambo mengne hamna shida! Huwa naenda na kurudi kwa bus, kama unaweza ni nzr hata kwenda kupata experience nyingn mkuu, hautajuta ukiwa mak
Sent using
Jamii Forums mobile app