Msaada wa suggestions za broker responsive DSE

JATU idea yao ni nzuri na bidhaa zao hata miaka 100 zina soko, issue ni business model walioiichagua.

Sioni kama ni sustainable maana ni ponzi scheme
Hawa jamaa nililiwawazia sema sijampata muda wa ukiisoma business model yao so nime-refrain from buying. Ila kama wasemayo ni kweli basi hii ni nuksi!
 
Kima cha chini cha kununua treasury bonds ni kiasi gani?
 
Tsh 1m in multiple of 100,000.
Asante.

Considering wanafanya kwa mnada haina guarantee kuwa utapata sio?
Plus kuweka 1/5m for 5/10/15 years unaona Ina make sense maana naamini wengine wananunua shares since they can't afford kutoa a million at a go
 
Mi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.
 
Mi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.
Nimejaribu kupatafuta sijapata... Nikikutana napo tena nitaweka link hapa
 
Mi nataka kununua share kwa style yangu ya kipekee ambao sitakuwa nategemea dividend. Hebu typos link ya hiyo web tukajionee.
Naona jamaa walikuwa sahihi na projection ya CRDB, at that time price ilikuwa 185, now iko 215, bado Tsh 5 tu, projection yao iwe 100% true.
 
Won't that make CRDB lose more value?
Hapana, kuexpand na kufungua matawi, means capital imeongezeka, na hyo inamaanisha pia productivity imeongezeka, na consequently profit inaongezeka. Share value itapanda kama profit ya kampuni inaongezeka, mana investors tunatazama profit ya kampuni tunayoinvest
 
Kwa investor sikushauri kuweka hela yako NMB, kwanza Capital gain ni kama haipo.. price imeganda sehem moja mwaka mzima. Devident wanatoa lest than 6% ya share price.. ukitaka kuuza share za NMB utasubir mwezi mzima.. Kwa CRDB n tofauti Bei zinachanga sana sana yani.. mtakua mashahidi ni Juzi January tu bei zilikua 215 na wiki jana imefika 300. devident wanatoa 10% kupanda juu.. pia ukitaka kuuza ni muda wa masaa tu zishauzika. kwa broker binafsi namtumia Solomoni Brokers wako active zaidi whatsapp na insta, japo nimeona kuna wanaoitwa Orbit wanasemwa vizuri pia.
 
Nifanyie mpango wa list ya companies wanatoa divident ya walau 10% ya share price
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…