Msaada wa shule nzuri ya sekondari moshi

URU seminary ndo inakimbiza kwa Moshi.
uongo mtupu............
hata ukitazama list ya shule zinazosimamiwa na Jimbo katoliki La Moshi, Uru Seminary inashika nafasi ya 11 kwa ubora ikipitwa na shule kama Anwarite, ST amedeus, St. James, Maua Seminary, St, Mariagoreth....n.k
sijui unamaanisha inakimbiza kitu gani.....labda kuku
 
Kuna tofauti kati ya Seminary(Catholic Seminary)..
na Catholic Managed Schools..

Naona watu wanachanganya kati ya Catholic Schools na Catholic Seminary
Catholic Seminary ; hizi ni shule kubwa na ndogo ambazo lengo lake ni kuwakusanya vijana wanataka ukaa pweke useja na utawa ktk maisha yao , sambamba na hapo pia wanahimizwa sana kuishika elimu dunia na ya kiroho .

Mara nyingi shule hizo zinakuwa za Majimbo na Mashirka ya Kiroho zikiwa na itikadi za Kiroma , na Nyingine za Majimbo

Seminary ndogo ( shule ndogo za kiseminary )
Hizi zinakuwa kuanzia pre form one mpaka form six
Seminary kubwa ( major seminary )
Hizi hupokea wanafunzi wasio waseminary wadogo na waseminary wadogo wenye lengo la kuwa wakasisi

NB : ili usome Catholic Seminary lazma uwe Catholic , kuna mengi utalazimika kujitambulisha kiundani.

Catholic Manage School
Shule zinazofuata itikadi za Kiroma na hupokea wanafunzi wa dini tofauti mashuleni , ili mradi wafuate karenda na timetable za Kiroma .
 
Habari za jioni wanaJF
Naomba msaada wa kufahamu shule nzuri ya sekondari ya boys tu kwa wenyeji wa moshi

Ahsanteni

Chagua kati ya hizi hapa.....sio bora kwa masomo tu ila hata malezi anayopata mwanafunzi ni ya hali ya juu sana
 
Huyo dogo anajitoa ufahamu tuu manase kamtoa Leo hii anamkana bora umfadhili mbuzi Aise
Kweli mkuu namjua uyo dogo lakini anajifanya sio yeye.
Mzee manase ni mjomba wake na ndo aliyemleta lyamungo sasa anajifanya hamjui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…