Msaada wa salary scale za bandari

Msaada nahitaji kujua salary scale za degree holder pale bandarini
Teh umesikia hizi nafasi 749 nini walofukuzwa hapo unajiandaa kisaikolojia unaanza tafuta na scales zao kabisa maana TPA hawajaajiri tangia mwaka 2016 zile post za ICT.
 
Kwa ushauri tu acheni hzo Habar za kuhoji salary inshort huko mshahara ni mzuri na kila staff ana usafiri na ukiona mtu Hana usafiri basi jua kwmba hatak mwenyew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…