Kabayser
Member
- Mar 6, 2013
- 78
- 18
Wakubwa heshimaa zenu Wadogo zangu Habarii ya nyiee!!! Jamanii mimi ni mvulana mwenye miaa kadhaaa , najishugulisha na kazii zilizoo mbele yangu zikiwemoo za kujenga Taifaa sasa nilikuwa naomba msaada kuhusu jambo linalo nisibu!!! Kuna msichana mmoja na mpenda sana tena zaidi ya sana ila yeye bado yu masomoni niki maanisha bado anasoma vidatoo...Janga langu ni hilii nampenda kwa kuwa tayarii hata kumwoaa awe mke wangu na nipo tayarii nimsubiri amalizee vidato vyake ili niweze kukamilisha ndoto yangu yakuwa na mpenzi tena zaidi ya mapendoo ila sasa kwa njinsi alivyoo mzurii na white ileile naogopa hata kumface ni mweleze tatizoo langu , Je?? Wadau wa JF mnanisaidiajee??? naombenii msaasa wenu jamani?????