Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,420
- 7,755
Habari zenu wana jf,
Iko hivi, kuna binti wa kazi tunaishi nae yapata miezi 6 sasa ana miaka 20 hivi na ana mtoto wa miaka 4 pia ana undugu wa karibu kiasi na mke wangu na alikulia kwao hd anapata mimba, nilimfaham kabla wakati nikiwa na mahusiano na mke wangu na yeye wote waliishi kwa dada yao aliekua ameolewa na huyu ambae ndio hg kwa sasa alitokea kunizoea sana km shemeji yake tukawa tunachati kwa kawaida tuu na utani mwingi maana ana utani sana hasa baada ya kugundua dada ake ana mimba yangu hata baada kumchukua dada yake kuja kuishi kwangu bd tulikua tunawacliana,
Cku moja akanitania kua anamwonea wivu sana dada yake kwa kuzaa mapacha na anapenda kweli nae cku moja azae mapacha na cku ikifika akihitaji kuzaa atanitafuta nimpe mimba, nikamjibu ucjali mii nikijua ni utani.
Sasa baadae tukawa tuna shida ya hausegel baada ya aliekuepo mwanzo mke wangu kumrudisha kwao kiana kwa kuhisi ni mzuri sana nisije kumtaka na mwingine aliefuata utendaji wake haukua mzuri tukamrudisha pia, mke wangu akaniambia tumchukue huyu ndg yao ambae wakati huo alikua kijijini hana kazi, baada ya kuja nikawa siriaz na utani nae nikaacha japo anajaribu kunitania lkn simpi ushirikiano.
Sasa hivi ameanza tabia ya ajabu nikikutana nae jikon au korido akiwa na kanga 1 hujidai kuifungua na kuifunga huku hana hata chupi, juzi kaniambia eti anakumbushia ombi la kuzaa na mm anataka nae azae mapacha nikamwambia acha utani akasema yuko siriazi hatanii na sasa hivi ana hamu sana ya kuzaa na anataka nimpe mimba kuhusu malezi nimwachie yeye wala hatanisumbua kwa hilo,
Jana jioni nikaingia chumbani kwake kuangalia kabati la nguo lililiwa na mchwa kujua limeharibika kiasi gani mara nae kaingia nilivaa taulo lkn ndani nimevaa bucta akaniuliza ndio umekuja? cjakaa sawa kavuta taulo nikabaki na bukta nikamwangalia kwa ukali sana akatupa taulo kitandani akatoka nje, nikabaki na butwaa tuu kumwambia mke wangu nashindwa nianzie wapi maana ni marafiki sana yaani tunaishi nae kama sio hausgel na nashkuru anawalea vizuri sana wanangu na anawapenda na wanampenda pia lkn tatizo ndio hili upande mwingine ana kasoro hii, asubuhi hii kaniandikia sms akisema anapenda sana jinsi anavyoishi na sisi na mm ndie ntakaemfanya azidi kufurahia kuishi kwangu na kulea watoto vizuri cjamjibu chochote na wanangu ndio wana mwaka sasa.
Nashindwa kumwambia mke wangu hii tabia yake maana cdhani kama ataamini maana ni marafiki sana.
Nimfanyeje huyu hausegel au nimwambie mama wawili?
Ushauri wenu muhimu sana kwangu.
Iko hivi, kuna binti wa kazi tunaishi nae yapata miezi 6 sasa ana miaka 20 hivi na ana mtoto wa miaka 4 pia ana undugu wa karibu kiasi na mke wangu na alikulia kwao hd anapata mimba, nilimfaham kabla wakati nikiwa na mahusiano na mke wangu na yeye wote waliishi kwa dada yao aliekua ameolewa na huyu ambae ndio hg kwa sasa alitokea kunizoea sana km shemeji yake tukawa tunachati kwa kawaida tuu na utani mwingi maana ana utani sana hasa baada ya kugundua dada ake ana mimba yangu hata baada kumchukua dada yake kuja kuishi kwangu bd tulikua tunawacliana,
Cku moja akanitania kua anamwonea wivu sana dada yake kwa kuzaa mapacha na anapenda kweli nae cku moja azae mapacha na cku ikifika akihitaji kuzaa atanitafuta nimpe mimba, nikamjibu ucjali mii nikijua ni utani.
Sasa baadae tukawa tuna shida ya hausegel baada ya aliekuepo mwanzo mke wangu kumrudisha kwao kiana kwa kuhisi ni mzuri sana nisije kumtaka na mwingine aliefuata utendaji wake haukua mzuri tukamrudisha pia, mke wangu akaniambia tumchukue huyu ndg yao ambae wakati huo alikua kijijini hana kazi, baada ya kuja nikawa siriaz na utani nae nikaacha japo anajaribu kunitania lkn simpi ushirikiano.
Sasa hivi ameanza tabia ya ajabu nikikutana nae jikon au korido akiwa na kanga 1 hujidai kuifungua na kuifunga huku hana hata chupi, juzi kaniambia eti anakumbushia ombi la kuzaa na mm anataka nae azae mapacha nikamwambia acha utani akasema yuko siriazi hatanii na sasa hivi ana hamu sana ya kuzaa na anataka nimpe mimba kuhusu malezi nimwachie yeye wala hatanisumbua kwa hilo,
Jana jioni nikaingia chumbani kwake kuangalia kabati la nguo lililiwa na mchwa kujua limeharibika kiasi gani mara nae kaingia nilivaa taulo lkn ndani nimevaa bucta akaniuliza ndio umekuja? cjakaa sawa kavuta taulo nikabaki na bukta nikamwangalia kwa ukali sana akatupa taulo kitandani akatoka nje, nikabaki na butwaa tuu kumwambia mke wangu nashindwa nianzie wapi maana ni marafiki sana yaani tunaishi nae kama sio hausgel na nashkuru anawalea vizuri sana wanangu na anawapenda na wanampenda pia lkn tatizo ndio hili upande mwingine ana kasoro hii, asubuhi hii kaniandikia sms akisema anapenda sana jinsi anavyoishi na sisi na mm ndie ntakaemfanya azidi kufurahia kuishi kwangu na kulea watoto vizuri cjamjibu chochote na wanangu ndio wana mwaka sasa.
Nashindwa kumwambia mke wangu hii tabia yake maana cdhani kama ataamini maana ni marafiki sana.
Nimfanyeje huyu hausegel au nimwambie mama wawili?
Ushauri wenu muhimu sana kwangu.