Habari jamvini.
nina mdogo wangu amabe matokeo mapya yametoka ni mmoja wao lakini matokeo yametoka ana Div 4 point 32 na ana D 3 alikuwa anasoma Art kiukweli Mdogo wangu Sijui nimsaidie vipi wadau pengine kwa Point hizo anaweza pata chuo na kozi gani ya Kusoma!
Nisaidieni Mawazo!!