Msaada wa mahusiano plz

mmakondehuru

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
385
Reaction score
149
Nimekutana na msichana mdogo sana ni mwanafunzi mhitimu wa form 4,nikamuaproach kanikubalia tumefikia kuwa wapenzi kwa siku mbili tofauti,cha ajabu hajawahi kunipgia simu hata siku moja na tuna miezi 2 tangu tujuane. Je, kukaa kimya kwake kunaashiria nini?

Naomba kujuzwa plz.
 
kweli hata ulivyoandika inaonyesha utakuwa hujazidi form 4.........kwa umri huo ni wazazi wako tu ndowakukushauri hvyi jaribu kwashirikisha
 
we mkuu,si uko form 2 wew? miaka 32 umefikisha lin? mana siku moja nmekuona afu ulikuw n hyoo dgo.
 
Amekuacha kimya kimya,,, kama si hivyo ameibiwa simu kamnunulie nyingne
 
Mimi miaka yangu 32 na Dgo ana 20 Mkuu,lkn kwa kawaida mtu ukisex nae lazma akugande tu kwann huyu hayuko hivo?
Unapakaga shombo badala ya kumkaza,ngoja ampate anayejua kubungunyua ndiyo utaipata habari yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…