Hayo ni maduka auNyerere Square na Saba Saba!.. au ingia One Way Street!!..
Wako wapi hao mkuu hao masistaKachonge kwa masista....kabla hujamaliza mpunga wa uhamisho
Tanx mkuuSalome furniture collection,chako ni chako
Ni mitaa yenye vitu unavyohitaji!..Hayo ni maduka au
Samani nzuri nenda veta dodoma, na kwa maduka ya vifaa vya nyumbani vikiwemo na vya umeme maduka ni mengi mf. Kazimoto electronics ipo barabara ya6, boss electronics ipo one way na kuu street, vile vile kuna maduka mtaa wa mtendeni sikumbuki majina ila ni pale jirani na makao makuu ya LAPFHabarini,
Nimehamia hapa Dodoma natafuta sehemu gani ambayo ninaweza kununua fenicha za ndani nzuri yaani namaanisha quality kwa hapa Dodoma.
Vilevile duka gani wanauza vyombo vya ndani kama vile sahani..rice cooker au friji ambazo ni quality.
Asanteni.
Mkuuu asante sanaaaSamani nzuri nenda veta dodoma, na kwa maduka ya vifaa vya nyumbani vikiwemo na vya umeme maduka ni mengi mf. Kazimoto electronics ipo barabara ya6, boss electronics ipo one way na kuu street, vile vile kuna maduka mtaa wa mtendeni sikumbuki majina ila ni pale jirani na makao makuu ya LAPF
Wala usijali mkuuMkuuu asante sanaaa
Aisee mkuu ni kweli aisee...mimi nahic ntaenda dar kununua vitu nasafirisha maana huku gharama aiseeDodoma mfano tuu,,kitu kinachouzwa Dar,Moro,au iringa elfu kumi
Dodoma hicho kitu ni elfu ishirini na tano
Binafsi Mimi sinunui vitu vyangu Dodoma kbsa