Hivi wifi ni nini wajameni, maana nina simu yangu kimeo HTC MDA vario II imekufa radio baada ya kuiangusha, radio chip ikawa dameged,no calls no sms no internet through sim card.
lakini naambiwa naweza kupata internet kwa wifi, natamani nijaribu sikumoja nione, niwapi naweza enda nikapata hayo mawasiliano ya wifi,nimedokezwa eti naweza pata ktk migahawa ya steers.
sorry kama nipo nje ya mada