Natumai mpo wazima kama kuna ambaye sio mzima Mungu amponye. Jaman mara nyingi huwa naota ndoto naokota hela na huwa naokota nyingi kweli na hata tukiwa wengi mimi huwa naokota nyingi kuliko wenzangu.Naomba kwa anayejua tafsiri ya ndoto hii sababu inajirudia mara kwa mara..Asantee