Msaada wa kuroot simu

Msaada wa kuroot simu

application zote zilizo nje ya playstore kwa 99% huwa na virus hivyo usishangae simu yako baada ya muda ikahitaj kuflash hahaa


ila faida ya kuroot ni kucontrol kila kitu ktk simu yako
kama kuweka font
xposed apk
na vtu kibaaaaaao mpaka bootanimation
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom