Msaada wa kupata tempo

Felicity

Member
Joined
Dec 2, 2011
Posts
21
Reaction score
3
Habari wakuu,

Nimemaliza Chuo Bsc. Education (Chemistry And Biology), Natafuta Kazi Ya Kufundisha Kwa Muda Wakati Tunasubiri Ajira Toka Serikarini, Nipo Morogoro.

Natanguliza shukraan
 
Tution center itakulipa zaidi ya hiyo tempo. Try it out.
 
Nakubaliana na Lusungo,kwa masomo yako tuition itakulipa kama utapata center ya kueleweka,lakini pia kwa masomo yako ni rahisi kupata Shule ukajitolea then unakuwa unalipwa,nafikiri wanaanzia 100,000 kwa mwezi kwa Shule za Serikali,ila Wilayani inakuwa rahisi kuliko Manispaa kama Moro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…