Habarini za majukumu wapendwa na hongereni kwa kazi.
Mimi nina mtoto wa kike ana umri wa miaka 6 lakini mpka sasa haongei vizuri, ni neno moja moja sana napo ni kwa kujitahidi hivyo hivyo. Amesoma Pre-Middle za mchanganyiko na sasa anajiandaa kwa kuingia darasa la kwanza.
Sasa naomba ushauri ama msaada wa kupata shule nzuri, iwe ya bweni (boarding) kwa shida aliyonayo mwanangu.
Pia nafikiria sana nikimpeleka shule za viziwi nahisi ntampoteza kabisa hata neno moja moja analoongea litapotea kabisa, niko njia panda nashindwa nafanyaje.
Msaada kuna wenye uzoefu ya hivi vitu humu?
AHSANTENI.
Mimi nina mtoto wa kike ana umri wa miaka 6 lakini mpka sasa haongei vizuri, ni neno moja moja sana napo ni kwa kujitahidi hivyo hivyo. Amesoma Pre-Middle za mchanganyiko na sasa anajiandaa kwa kuingia darasa la kwanza.
Sasa naomba ushauri ama msaada wa kupata shule nzuri, iwe ya bweni (boarding) kwa shida aliyonayo mwanangu.
Pia nafikiria sana nikimpeleka shule za viziwi nahisi ntampoteza kabisa hata neno moja moja analoongea litapotea kabisa, niko njia panda nashindwa nafanyaje.
Msaada kuna wenye uzoefu ya hivi vitu humu?
AHSANTENI.