Msaada wa kupata shule private

Joined
Apr 26, 2016
Posts
54
Reaction score
7
jaman wakuu nisaidien shule za private zenye gharama nafuu hatakama haifanyi vizur katika motekeo yake iwe inamichepuo ya sayansi ada isizidi lak 9
 
Tegeta secondary Mzee ni nzuri na ada ni nafuu,itakufaa mzazi
 
Ni chini ya laki 9,na wadau wanafaulisha karibu wanafunzi wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…