Msaada wa kupata piki piki ya mkataba au daywaka

May 23, 2024
22
9
Habari viongozi,

Mimi ni kijana wa miaka 24 mkazi wa Dar es salaam mtaa wa External manispa ya Ubungo,
Naitaji MSADA kwa alie na piki piki ya mkataba au ya daywaka, pia ni mjuzi wa kuendesha ila leseni sina na sio mda nitakata, namba 0785598033
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom