wachimbakisima
Member
- Jul 2, 2016
- 26
- 16
Wakuu habari nina kijana wangu nataka kumtafutia chuo cha nje ya nchi ambacho kinatambulika na serikali yetu ili hata akimaliza kusoma asipate tabu kwenye maswala ya kupata ajira...Lakini pia dhumuni siyo kwenda kusoma huko ulaya hapana ni kusoma online Level ya degree wakuu naombeni msaada wa hivyo vyuo ili niweze kufatilia hatua za udahili wake