Msaada wa kupata nyimbo hizi

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
21,745
Reaction score
71,610
Wasalaam ndugu zangu.
Samahani nilikuwa ninashida na badhi ya nyimbo na mtandaoni nimetafuta sana lakini nimeishia kusikila kwenye East African Tube.
Nyingine nikizipata kiwango cha sauti kinakuwa cha chini sana.
Hata kwa pesa mimi nitazilipia.

1. Norichiko- Nimemfukuza
2. Q Chillah- huwa unasema macho yalinidanganya (nakumbuka kiitikio tu)
3. Dr Leader- Msambaa
4. Stan boy- Sweet girl na nyimbo zake nyingine.
 
umezipata
 
Hivi ile nyimbo, monalisa mpenzi njoo yumo fa n.k ni ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…