MSAADA WA KUPATA AVN NACTE

MSAADA WA KUPATA AVN NACTE

choosengeneration

New Member
Joined
Aug 8, 2019
Posts
1
Reaction score
0
kwa yeyote anaejua naomba anisadie nimwanafunzi nilihitim diplom mwaka huu shida nikwamba cjaweka kupata AVN kwa sababu detail zang hazionekani nacte nimeenda chuo wameniambia wameshindwa kuaply matokeo yang ya NTA4$5 kwa sababu mfumo umefungwa wa nyuma hivyo matokeo yangu ya NTA 6 hawawez kuweka kwa sababu detail zang za mwanzo hawakuweka mpka mfumo umefungwa nimeenda nacte wamesema niwaambie kuwa chuo waandike barua ya kuomba kapload matokeo lkn nimefikisha ujumbe chuo wamesema wameandika barua sana and no feedback from nacte.........sasa naona wananitia tu viswahili mwisho nikae home jamani naombeni mnisadie nifanye nn
 
Ni pm registration number yako ya chuo
kwa yeyote anaejua naomba anisadie nimwanafunzi nilihitim diplom mwaka huu shida nikwamba cjaweka kupata AVN kwa sababu detail zang hazionekani nacte nimeenda chuo wameniambia wameshindwa kuaply matokeo yang ya NTA4$5 kwa sababu mfumo umefungwa wa nyuma hivyo matokeo yangu ya NTA 6 hawawez kuweka kwa sababu detail zang za mwanzo hawakuweka mpka mfumo umefungwa nimeenda nacte wamesema niwaambie kuwa chuo waandike barua ya kuomba kapload matokeo lkn nimefikisha ujumbe chuo wamesema wameandika barua sana and no feedback from nacte.........sasa naona wananitia tu viswahili mwisho nikae home jamani naombeni mnisadie nifanye nn
 
  • Thanks
Reactions: j70
kwa yeyote anaejua naomba anisadie nimwanafunzi nilihitim diplom mwaka huu shida nikwamba cjaweka kupata AVN kwa sababu detail zang hazionekani nacte nimeenda chuo wameniambia wameshindwa kuaply matokeo yang ya NTA4$5 kwa sababu mfumo umefungwa wa nyuma hivyo matokeo yangu ya NTA 6 hawawez kuweka kwa sababu detail zang za mwanzo hawakuweka mpka mfumo umefungwa nimeenda nacte wamesema niwaambie kuwa chuo waandike barua ya kuomba kapload matokeo lkn nimefikisha ujumbe chuo wamesema wameandika barua sana and no feedback from nacte.........sasa naona wananitia tu viswahili mwisho nikae home jamani naombeni mnisadie nifanye nn
na mm bado aisee wanazenguaaaa..hawatumi matokeo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom